Dataset Viewer
Auto-converted to Parquet Duplicate
question
stringlengths
1
202
answer
stringlengths
8
208k
conversations
listlengths
3
3
Rachid Aït-Atmane
Rachid Aït-Atmane (anayejulikana kama Rachid nchini Hispania,; alizaliwa 4 Januari 1993) ni mchezaji wa soka wa kitaalamu wa Algeria anayecheza kama kiungo wa kati kwa klabu ya JS Kabylie. Kazi Alizaliwa jijini Bobigny, Aït-Atmane alimaliza mafunzo yake na timu ya vijana ya RC Lens na kuanza kucheza katika timu ya wa...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Rachid Aït-Atmane", "role": "user" }, { "content": "Rachid Aït-Atmane (anayejulikana kama Rachid nchini Hispania,; alizaliwa 4 Januari 1993) ni mchezaji wa s...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Watakubali
Watakubali ni jina la wimbo uliotungwa na mwimbaji/mwanamuziki wa Bongo Flava kutoka nchini Tanzania - Mbosso. Wimbo umetoka tarehe 28 Januari 2018. Huu ni wimbo wa kwanza kutoka tangu aingie mkataba na WCB Wasafi. Wimbo umetayarishwa na Laizer Classic. Wimbo unamzungumzia kijana mmoja anayependwa na mwanamke mwenye...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Watakubali", "role": "user" }, { "content": "Watakubali ni jina la wimbo uliotungwa na mwimbaji/mwanamuziki wa Bongo Flava kuto...
Mto Ngasaro
ni mto wa mkoa wa Mara (Tanzania kaskazini) ambao maji yake yanaingia katika ziwa Viktoria na hatimaye yanaelekea Bahari ya Kati kupitia mto Naili. Tazama pia Mito ya Tanzania Orodha ya mito ya mkoa wa Mara Tanbihi Viungo vya nje Geonames.org Mito ya Tanzania Mkoa wa Mara Ziwa Viktoria Nile
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Mto Ngasaro", "role": "user" }, { "content": "ni mto wa mkoa wa Mara (Tanzania kaskazini) ambao maji yake yanaingia katika ziwa Viktoria na hatimaye yanaelek...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Shirley%20Chisholm
Shirley Anita Chisholm ; (Novemba 30, 1924 - 1 Januari 2005) alikuwa mwanasiasa, mwalimu na mwandishi wa nchini Marekani. Mnamo mwaka 1968, alikua mwanamke wa kwanza mweusi kuchaguliwa katika Bunge la Marekani . Marejeo Waliofariki 2005 Waliozaliwa 1924 Wanawake wa Marekani
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Shirley%20Chisholm", "role": "user" }, { "content": "Shirley Anita Chisholm ; (Novemba 30, 1924 - 1 Januari 2005) alikuwa mwana...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Buton
Buton ni kisiwa cha Indonesia. Kiko upande wa kusini-mashariki wa kisiwa cha Sulawesi. Eneo la kisiwa ni 4408 km². Mji mkubwa kabisa kisiwani huitwa Bau-Bau. Mwaka wa 2010 idadi ya watu kisiwani imehesabiwa kuwa 447,408. Watu wakaao kisiwani kwa Buton huongea lugha mbalimbali, miongoni mwao Kiwolio na Kicia-Cia. Visiw...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Buton", "role": "user" }, { "content": "Buton ni kisiwa cha Indonesia. Kiko upande wa kusini-mashariki wa kisiwa cha Sulawesi. ...
Bertrand Osborne
Bertrand Osborne (18 April 1935 – 4 September 2018) was a British politician from Montserrat. He served as the territory's Chief Minister from 13 November 1996 to 22 August 1997. He resigned from his post amid demonstrations over his dealings with the British government in the wake of the island nation being ravaged b...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Bertrand Osborne", "role": "user" }, { "content": "Bertrand Osborne (18 April 1935 – 4 September 2018) was a British politician from Montserrat. He served as...
Imalamakoye
Imalamakoye ni jina la kata ya Wilaya ya Urambo katika Mkoa wa Tabora, Tanzania yenye postikodi namba 45504 .. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 2984 waishio humo. Marejeo Wilaya ya Urambo Mkoa wa Tabora
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Imalamakoye", "role": "user" }, { "content": "Imalamakoye ni jina la kata ya Wilaya ya Urambo katika Mkoa wa Tabora, Tanzania yenye postikodi namba 45504 .....
Omani
Usultani wa Omani (kwa Kiarabu:سلطنة عُمان Saltanat ˤUmān) ni nchi ya Bara Arabu katika Asia ya Magharibi. Imepakana na Maungano ya Falme za Kiarabu, Saudia na Yemen, halafu Bahari Hindi na Ghuba ya Omani. Utawala wa nchi hufuata muundo wa kifalme usiobanwa na masharti ya katiba. Mji mkuu ni Maskat (Omani). Hist...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Omani", "role": "user" }, { "content": "Usultani wa Omani (kwa Kiarabu:سلطنة عُمان Saltanat ˤUmān) ni nchi ya Bara Arabu katika Asia ya Magharibi. \n\nImepak...
https://sw.wikipedia.org/wiki/1060
Makala hii inahusu mwaka 1060 BK (Baada ya Kristo). Matukio Waliozaliwa Waliofariki Karne ya 11
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/1060", "role": "user" }, { "content": "Makala hii inahusu mwaka 1060 BK (Baada ya Kristo).\n\nMatukio\n\nWaliozaliwa\n\nWaliofa...
Jim Johnson (American football)
Jim Johnson (May 26, 1941July 28, 2009) was an American professional football player and coach in the National Football League (NFL). He was a defensive coordinator for nine seasons with the Philadelphia Eagles. Widely regarded as one of the best defensive coordinators in the NFL, he was especially known for being a ma...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Jim Johnson (American football)", "role": "user" }, { "content": "Jim Johnson (May 26, 1941July 28, 2009) was an American professional football player and co...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Chris%20Diamantopoulos
Christopher "Chris" Diamantopoulos (alizaliwa tar. 9 Mei 1975) ni mwigizaji wa filamu na mchekeshaji kutoka nchini Marekani. The Three Stooges (2012) Marejeo Viungo vya Nje
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Chris%20Diamantopoulos", "role": "user" }, { "content": "Christopher \"Chris\" Diamantopoulos (alizaliwa tar. 9 Mei 1975) ni mw...
Pembetatu mraba
Pembetatu mraba ni aina ya pekee ya pembetatu yenye pembe moja ya nyuzi 90°. Pembe mbili nyingine zina jumla ya nyuzi 90°. Pande zina majina maalumu kutokana na kawaida ya wanahisabati ya Ugiriki wa Kale. Pande ndefu kinyume cha pembe mraba ni hipotenusi au kiegana. Pande mbili nyingine zinazoanza kwenye pembe mra...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Pembetatu mraba", "role": "user" }, { "content": "Pembetatu mraba ni aina ya pekee ya pembetatu yenye pembe moja ya nyuzi 90°. Pembe mbili nyingine zina juml...
Mia tisa arobaini na tisa
Mia tisa arobaini na tisa ni namba inayoandikwa 949 kwa tarakimu za kawaida na CMXLIX kwa zile za Kirumi. Ni namba asilia inayofuata 948 na kutangulia 950. Vigawo vyake vya namba tasa ni: 13 x 73. Matumizi Namba hurejea miaka 949 KK na 949 BK. Tanbihi Namba asilia
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Mia tisa arobaini na tisa", "role": "user" }, { "content": "Mia tisa arobaini na tisa ni namba inayoandikwa 949 kwa tarakimu za kawaida na CMXLIX kwa zile za...
David William Lister Read
David William Lister Read (23 Aprili 1922 – 2 Julai 2015) alikuwa mwandishi wa kazi za tawasifu ambazo huonesha maarifa na taarifa juu jamii ya watu kutoka katika utamaduni Kimasai na kuandika historia yake. Aliishi maisha ya kama Mmasai Mweupe kwani alifahamu lugha ya Kimasai kabla ya kufahamu Kiingereza ambayo ndo ...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "David William Lister Read", "role": "user" }, { "content": "David William Lister Read (23 Aprili 1922 – 2 Julai 2015) alikuwa mwandishi wa kazi za tawasifu a...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Shindambwe
ni kati ya visiwa vya funguvisiwa la Lamu, kaunti ya Lamu, nchini Kenya. Kinapatikana katika Bahari ya Hindi. Tazama pia Orodha ya visiwa vya Kenya Marejeo Viungo vya nje Geonames.org Visiwa vya Kenya Visiwa vya Bahari ya Hindi Kaunti ya Lamu
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Shindambwe", "role": "user" }, { "content": "ni kati ya visiwa vya funguvisiwa la Lamu, kaunti ya Lamu, nchini K...
Hawara
Hawara ni eneo la kihistoria katika Misri ya Kale lililopo kusini mwa Crocodilopolis (Arsinoe) kuelekea katika mteremko wa Oasisi ya Fayyum. Mgunduzi wa kwanza wa eneo hili alikuwa Karl Lepsius, mnamo mwaka 1843. William Flinders Petrie, alifika katika eneo hili kwa ajili ya uchunguzi mwaka 1888, pia walikuta ka...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Hawara", "role": "user" }, { "content": "Hawara ni eneo la kihistoria katika Misri ya Kale lililopo kusini mwa Crocodilopolis (Arsinoe) kuelekea katika mter...
Potinus wa Lyon
Potinus (kwa Kifaransa Pothin; Frigia, katika Uturuki wa leo, 87 - Lyon, katika Ufaransa wa leo, 177) alikuwa askofu wa Lyon aliyeuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Marcus Aurelius dhidi ya Ukristo. Askofu Ireneo alimtaja kama mtangulizi wake mjini Lyon katika barua ambayo anadhaniwa kuwa aliwaandikia Wakristo wa mkoa ...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Potinus wa Lyon", "role": "user" }, { "content": "Potinus (kwa Kifaransa Pothin; Frigia, katika Uturuki wa leo, 87 - Lyon, katika Ufaransa wa leo, 177) aliku...
Towards Understanding Islam
Towards Understanding Islam is a book written by Sayyid Abul Ala Maududi which gained its author a reputation as a religious teacher and major thinker. This book has been translated into a number of languages. Jamaat-e-Islami claims that it has been translated into 13 languages. One English translation of this book is ...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Towards Understanding Islam", "role": "user" }, { "content": "Towards Understanding Islam is a book written by Sayyid Abul Ala Maududi which gained its autho...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Ziwa%20Saka
ni ziwa dogo la Uganda (wilaya ya Kabarole). Marejeo Maziwa ya Uganda Wilaya ya Kabarole
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Ziwa%20Saka", "role": "user" }, { "content": "ni ziwa dogo la Uganda (wilaya ya Kabarole).\n\nMarejeo \n\nMaziwa ya Uganda\nWil...
https://sw.wikipedia.org/wiki/207%20KK
Makala hii inahusu mwaka 207 KK (kabla ya Kristo). Matukio Waliozaliwa Waliofariki Karne ya 3 KK
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/207%20KK", "role": "user" }, { "content": "Makala hii inahusu mwaka 207 KK (kabla ya Kristo).\n\nMatukio\n\nWaliozaliwa\n\nWali...
https://en.wikipedia.org/wiki/Logic%20of%20information
The logic of information, or the logical theory of information, considers the information content of logical signs and expressions along the lines initially developed by Charles Sanders Peirce. In this line of work, the concept of information serves to integrate the aspects of signs and expressions that are separately...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://en.wikipedia.org/wiki/Logic%20of%20information", "role": "user" }, { "content": "The logic of information, or the logical theory of information, cons...
Austria Chini
Austria ya Chini (kwa Kijerumani: Niederösterreich) ni moja ya majimbo 9 ya kujitawala ya Austria lenye wakazi 1.608.590 kwenye eneo la km² 19.177. Mji mkuu ni Sankt Pölten. Waziri mkuu ni Johanna Mikl-Leitner (ÖVP). Jiografia Austria ya Chini imepakana na Ujerumani na majimbo ya Austria Juu, Steiermark, Burgenlan...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Austria Chini", "role": "user" }, { "content": "Austria ya Chini (kwa Kijerumani: Niederösterreich) ni moja ya majimbo 9 ya kujitawala ya Austria lenye wakaz...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Olatunji%20Adeola
Olatunde Adeola Waidi (alizaliwa Juni 13, 1983 jijini Owu) ni mchezaji wa soka wa Nigeria anayechezea klabu ya Kwara United F.C. jijini Ilorin. Olatunji Adeola ni beki. Taaluma Anajulikana pia kama 'Libero', anatumai kuvalia jezi za taifa na kuendeleza taaluma yake katika klabu ya Ulaya. Alicheza katika timu za Princ...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Olatunji%20Adeola", "role": "user" }, { "content": "Olatunde Adeola Waidi (alizaliwa Juni 13, 1983 jijini Owu) ni mchezaji wa s...
Kupigwa risasi kwa Terence Crutcher
Mnamo Septemba 16, 2016, Terence Crutcher, Dereva mweusi mwenye umri wa miaka 40, alipigwa risasi na kuuawa na afisa wa polisi Betty Jo Shelby huko Tulsa, Oklahoma. Hakuwa na silaha, akiwa amesimama karibu na gari lake katikati ya barabara. Risasi hiyo ilisababisha maandamano huko Tulsa. Siku sita baadaye, 22 Septemba...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Kupigwa risasi kwa Terence Crutcher", "role": "user" }, { "content": "Mnamo Septemba 16, 2016, Terence Crutcher, Dereva mweusi mwenye umri wa miaka 40, alipi...
David Maxwell
David Maxwell may refer to: David Maxwell (academic) (born 1944), president of Drake University in Des Moines, Iowa David Maxwell (historian) (born 1963), Dixie Professor of Ecclesiastical History at Cambridge University David Maxwell (musician) (1943–2015), American blues pianist David Maxwell (politician) (born ...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "David Maxwell", "role": "user" }, { "content": "David Maxwell may refer to:\n\n David Maxwell (academic) (born 1944), president of Drake University in Des Mo...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kanga
Kanga ni jina la: Jamii ya ndege (Kanga (ndege)) Aina ya kitambaa (Kanga (kitambaa)) Kata za Kanga (Mafia), Kanga (Mvomero) na Kanga (Songwe) nchini Tanzania
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Kanga", "role": "user" }, { "content": "Kanga ni jina la:\nJamii ya ndege (Kanga (ndege))\nAina ya kitambaa (Kanga (kitambaa))\...
Lockheed AC-130
The Lockheed AC-130 gunship is a heavily armed, long-endurance, ground-attack variant of the C-130 Hercules transport, fixed-wing aircraft. It carries a wide array of ground-attack weapons that are integrated with sophisticated sensors, navigation, and fire-control systems. Unlike other modern military fixed-wing aircr...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Lockheed AC-130", "role": "user" }, { "content": "The Lockheed AC-130 gunship is a heavily armed, long-endurance, ground-attack variant of the C-130 Hercules...
Chachani
Chachani ni jina la kata ya Wilaya ya Chake Chake katika Mkoa wa Pemba Kusini, Tanzania yenye postikodi namba 74203 .. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 3,140 waishio humo. Marejeo Mkoa wa Pemba Kusini Wilaya ya Chake Chake
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Chachani", "role": "user" }, { "content": "Chachani ni jina la kata ya Wilaya ya Chake Chake katika Mkoa wa Pemba Kusini, Tanzania yenye postikodi namba 74...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Yakobo%20Mkatwakatwa
Yakobo Mkatwakatwa (alifariki Beth Lapat, nchini Uajemi, 421) alikuwa askari Mkristo aliyeuawa kwa sababu ya imani yake katika dhuluma ya mfalme Yazdegerd I. Ingawa kwanza alikubali kuasi, alipolaumiwa na familia yake alitubu na hatimaye alivumilia kukatwakatwa sehemu 28 kabla ya kukatwa kichwa. Tangu kale anaheshimiw...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Yakobo%20Mkatwakatwa", "role": "user" }, { "content": "Yakobo Mkatwakatwa (alifariki Beth Lapat, nchini Uajemi, 421) alikuwa as...
The Headies 2014
The headies 2014 lilikuwa toleo la tisa la The Headies. Ilifanyika tarehe 14 Desemba 2014, katika Hoteli ya Eko na Suites katika Kisiwa cha Victoria, Lagos. Kina mada "Feel the Passion", onyesho liliendeshwa na Toke Makinwa na Basketmouth . Awali ilipangwa kufanyika tarehe 25 Oktoba 2014 . Hapo awali Bovi alitangazwa ...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "The Headies 2014", "role": "user" }, { "content": "The headies 2014 lilikuwa toleo la tisa la The Headies. Ilifanyika tarehe 14 Desemba 2014, katika Hoteli ...
Kigali
Kigali ni mji mkuu wa Rwanda na pia mji mkubwa kuliko mingine yote nchini. Iko karibu sana na mstari wa ikweta kwenye kimo cha 1400 - 1600 m juu ya UB. Hali ya hewa ni ya wastani hakuna baridi kali wala joto kali. Kigali ina wakazi 600,000. Historia Kigali ilianzishwa wakati wa ukoloni wa Kijerumani mwaka 1907 kama...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Kigali", "role": "user" }, { "content": "Kigali ni mji mkuu wa Rwanda na pia mji mkubwa kuliko mingine yote nchini.\n\nIko karibu sana na mstari wa ikweta kw...
Karataş
ni mji na wilaya iliopo katika Mkoa wa Adana kwenye kanda ya Mediteranea huko nchini Uturuki. Viungo vya Nje
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Karataş", "role": "user" }, { "content": "ni mji na wilaya iliopo katika Mkoa wa Adana kwenye kanda ya Mediteranea huko nchini Uturuki.\n\nViungo vya Nje", ...
Richard Greenblatt (playwright)
Richard Greenblatt (born 1953) is a Canadian playwright who currently lives in Toronto. He is best known for 2 Pianos, 4 Hands, which he wrote and performed with Ted Dykstra. Early life Greenblatt was born in 1953 in Montreal, Quebec, to a secular Jewish family. His parents were active Communists until 1956, when th...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Richard Greenblatt (playwright)", "role": "user" }, { "content": "Richard Greenblatt (born 1953) is a Canadian playwright who currently lives in Toronto. He...
Centre for Studies on Inclusive Education
The Centre for Studies on Inclusive Education (CSIE) is an independent centre and registered charity based in the United Kingdom which aims to promote inclusion in education. As part of their work, they publish booklets on inclusive practice, and summaries of laws related to inclusion. See also Special education in...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Centre for Studies on Inclusive Education", "role": "user" }, { "content": "The Centre for Studies on Inclusive Education (CSIE) is an independent centre and...
Arkupo
Arkupo (kwa Kiingereza Archippus, kutoka Kigiriki: Ἅρχιππος, Arkhippos, "bwana wa farasi") alikuwa Mkristo wa karne ya 1 anayetajwa na mtume Paulo mara mbili kama mwenzi wake katika Agano Jipya la Biblia ya Kikristo: Film 1:2 na Kol 4:17. Inasemekana alikuwa askofu wa kwanza wa Laodikea. Tangu kale anaheshimiwa na Wa...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Arkupo", "role": "user" }, { "content": "Arkupo (kwa Kiingereza Archippus, kutoka Kigiriki: Ἅρχιππος, Arkhippos, \"bwana wa farasi\") alikuwa Mkristo wa karn...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Pitu
unapatikana kusini mwa Tanzania. Maji yake yanaishia katika mto Rufiji na hatimaye katika Bahari ya Hindi. Tazama pia Mito ya Tanzania Tanbihi Viungo vya nje Geonames.org Mito ya Tanzania Mto Rufiji Bahari ya Hindi
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Pitu", "role": "user" }, { "content": "unapatikana kusini mwa Tanzania.\n\nMaji yake yanaishia katika mto Rufiji na hatim...
Mto Namuzingole
unapatikana katika wilaya ya Mukono, mkoa wa Kati, nchini Uganda. Maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati. Tazama pia Orodha ya mito ya Uganda Orodha ya mito ya wilaya ya Mukono Tanbihi Viungo vya nje Geonames.org Wilaya ya Mukono Mito ya Uganda Nile Mediteranea
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Mto Namuzingole", "role": "user" }, { "content": "unapatikana katika wilaya ya Mukono, mkoa wa Kati, nchini Uganda. \n\nMaji yake yanaishia katika mto Naili ...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Berta%20C%C3%A1ceres
Berta Isabel Cáceres Flores (4 Machi 1971 – 2 Machi 2016) alikuwa mwanaharakati wa mazingira wa Honduras (Lenca), kiongozi wa kiasili, na mwanzilishi mwenza na mratibu wa Baraza la Mashirika Maarufu na Wenyeji wa Honduras (COPINH). Alishinda Tuzo ya Mazingira ya Goldman mwaka 2015, kwa "kampeni ya msingi ambayo ilifan...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Berta%20C%C3%A1ceres", "role": "user" }, { "content": "Berta Isabel Cáceres Flores (4 Machi 1971 – 2 Machi 2016) alikuwa mwanah...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kanisa%20la%20Kitume%20la%20Armenia
Kanisa la Kitume la Armenia (kwa Kiarmenia: Հայ Առաքելական Եկեղեցի), ambalo pengine linaitwa pia Kanisa la Kiorthodoksi la Armenia au Kanisa la Kigregori, ni Kanisa la kitaifa la kale zaidi duniani (301). Wafuasi wake wanahesabiwa kati ya Waorthodoksi wa Mashariki kwa sababu hawakubali Mtaguso wa Kalsedonia na Mitagu...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Kanisa%20la%20Kitume%20la%20Armenia", "role": "user" }, { "content": "Kanisa la Kitume la Armenia (kwa Kiarmenia: Հայ Առաքելակա...
Omsk
Omsk (Kirusi: Омск) ni mji wa Urusi. Ina wakazi 1,134,016. Iko katika mkoa wa Omsk Oblast. Tazama pia Orodha ya miji ya Urusi Miji ya Urusi
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Omsk", "role": "user" }, { "content": "Omsk (Kirusi: Омск) ni mji wa Urusi. Ina wakazi 1,134,016. Iko katika mkoa wa Omsk Oblast.\n\nTazama pia \n Orodha ya ...
https://en.wikipedia.org/wiki/HTC%20Apache
The HTC Apache is a Windows Mobile 5.0 device, sold as the PPC-6700 by Sprint, and the XV6700 by Verizon Wireless and other US carriers. The device was one of the first CDMA Windows Mobile 5.0 devices on the market, and the first to be released in the United States. The Apache is a Pocket PC PDA with smartphone capabil...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://en.wikipedia.org/wiki/HTC%20Apache", "role": "user" }, { "content": "The HTC Apache is a Windows Mobile 5.0 device, sold as the PPC-6700 by Sprint, a...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Hadar%2C%20Ethiopia
Hadar (pia imeandikwa Qad daqar, Qadaqar; kwa Kiafar "nyeupe [ qidi ] mkondo [ daqar ]") ni eneo la palantolojia katika wilaya ya Mille, Eneo la utawala 1 la Mkoa wa Afar, Ethiopia, takribani km 15 kinyume na mkondo wa mto (magharibi) ya daraja la A1 juu ya Mto Awash (Adayitu kebele ). Marejeo Jimbo la Afar Maeneo ...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Hadar%2C%20Ethiopia", "role": "user" }, { "content": "Hadar (pia imeandikwa Qad daqar, Qadaqar; kwa Kiafar \"nyeupe [ qidi ] mk...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Wahondo
ni kati ya visiwa cha kaunti ya Siaya, magharibi mwa Kenya. Kinapatikana katika ziwa Nyanza, la pili duniani kwa ukubwa. Tazama pia Orodha ya visiwa vya Kenya Marejeo Viungo vya nje Geonames.org Visiwa vya Kenya Visiwa vya Ziwa Viktoria Kaunti ya Siaya
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Wahondo", "role": "user" }, { "content": "ni kati ya visiwa cha kaunti ya Siaya, magharibi mwa Kenya.\n\nKinapat...
Moulins, Allier
Moulins au Moulins-sur-Allier ni mji wa Ufaransa. Tazama pia Orodha ya miji ya Ufaransa Viungo vya nje Tovuti rasmi Miji ya Ufaransa Auvergne
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Moulins, Allier", "role": "user" }, { "content": "Moulins au Moulins-sur-Allier ni mji wa Ufaransa.\n\nTazama pia \n Orodha ya miji ya Ufaransa\n\nViungo vya...
Punjkot
Punjkot () is a tehsil (administrative subdivision of local government) in Muzaffarabad, Azad Kashmir, Pakistan. Populated places in Muzaffarabad District
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Punjkot", "role": "user" }, { "content": "Punjkot () is a tehsil (administrative subdivision of local government) in Muzaffarabad, Azad Kashmir, Pakistan.\n\...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Dropping%20Knowledge
Dropping Knowlege ni shirika lisilo la kiserikali lenye lengo la kuleta majadiliano dunia nzima kuhusu matatizo makubwa yanayomkabili mwanadamu. Tarehe 9 Septemba 2006 shirika hili liliandaa tukio linaloitwa "Meza ya Sauti Huru" (the Table of Free Voices), ambapo watu 112 toka katika nyanja mbalimbali kama za sayansi,...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Dropping%20Knowledge", "role": "user" }, { "content": "Dropping Knowlege ni shirika lisilo la kiserikali lenye lengo la kuleta ...
Kibauni
ni kata ya kaunti ya Machakos, Eneo bunge la Mwala, nchini Kenya. Tanbihi Kata za Kenya Kaunti ya Machakos
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Kibauni", "role": "user" }, { "content": "ni kata ya kaunti ya Machakos, Eneo bunge la Mwala, nchini Kenya.\n\nTanbihi\n\nKata za Kenya\nKaunti ya Machakos",...
Christ College (Sydney)
Christ College, formerly known as the Presbyterian Theological Centre, is the theological college of the Presbyterian Church of Australia in New South Wales. It provides theological education for ministry candidates and members of the laity. It is an approved teaching institution of the Australian College of Theology. ...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Christ College (Sydney)", "role": "user" }, { "content": "Christ College, formerly known as the Presbyterian Theological Centre, is the theological college o...
Sophia Akuffo
Sophia Abena Boafoa Akuffo (amezaliwa 20 Desemba 1949) alikuwa Jaji Mkuu wa Ghana kutoka 2017 hadi 20 Desemba 2019. Kabla ya hapo, tayari alikuwa Jaji katika Mahakama Kuu ya Ghana tangu 1995. Elimu Alikuwa na elimu ya sekondari katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Wesley, Cape Coast na alipata Shahada ya Sheria ya C...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "Sophia Akuffo", "role": "user" }, { "content": "Sophia Abena Boafoa Akuffo (amezaliwa 20 Desemba 1949) alikuwa Jaji Mkuu wa Ghana kutoka 2017 hadi 20 Desemba...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Sakura%20Saunders
Sakura Saunders (alizaliwa 1979) ni mwandishi wa Marekani mwenye asili ya Japani anayeishi Toronto. Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita amekuwa mwanaharakati mashuhuri wa vyombo vya habari. Ingawa anahusishwa na vuguvugu la kupinga ushirika la Occupy Toronto, hupendelea kujiweka kama "mratibu wa haki ya madini". M...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Sakura%20Saunders", "role": "user" }, { "content": "Sakura Saunders (alizaliwa 1979) ni mwandishi wa Marekani mwenye asili ya J...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mnyoo-kichocho
Minyoo-kichocho ni spishi za minyoo vidusia za jenasi Schistosoma zinazosababisha ugonjwa wa kichocho kwa watu. Spishi zinaweza kugawanywa katika vikundi viwili kwa njia mbili tofauti. Njia ya kwanza ni mgawanyiko kulingana na ogani ambamo wapevu wanaishi, matumbo au kibofu. Njia ya pili ni kulingana na mahali pa mwiba...
[ { "content": "Given this input , return the associated information ie: the wiipedia entry : \n", "role": "system" }, { "content": "https://sw.wikipedia.org/wiki/Mnyoo-kichocho", "role": "user" }, { "content": "Minyoo-kichocho ni spishi za minyoo vidusia za jenasi Schistosoma zinazosababi...
End of preview. Expand in Data Studio
README.md exists but content is empty.
Downloads last month
3